Taarifa Mpya! Bacca 'awashtua' Wananchi - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya! Bacca 'awashtua' Wananchi

 Taarifa Mpya! Bacca 'awashtua' Wananchi

Ni Jumamosi SIMBA vs YANGA usikose kuitazama mechi hii live bure kupitia simu yako download app yetu Mapema itakayokuwezesha kuitazama mechi hii live kwenye simu yako pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


Jana kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii beki wa Yanga Ibrahim Bacca alithibitisha kupata majeraha katika mchezo wa timu ya Taifa kati ya Tanzania dhidi ya DR Congo uliopigwa juzi katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Kupitia picha aliyoweka katika ukurasa wake, ilionyesha uvimbe katika 'enka' ya mguu wa kulia

Hata hivyo hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Yanga iwapo kama majeraha hayo yanaweza kumfanya akakosa mchezo dhidi ya Simba siku ya Jumamosi

Pengine hatma yake itafahamika leo pale wachezaji walioitumikia Stars juzi watakapoingia kambini Avic Town kuungana na wenzao

Yanga iliendelea na mazoezi jana Avic Town kujiandaa na mchezo huo ambapo Stephane Aziz Ki, Prince Dube na Duke Abuya walishiriki mazoezi hayo baada ya kurejea kutoka katika majukumu ya timu za Taifa

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz