Majeraha yamuondoa Hamza Stars - EDUSPORTSTZ

Latest

Majeraha yamuondoa Hamza Stars

Majeraha yamuondoa Hamza Stars

Usikose kuitazama mechi ya SIMBA vs YANGA Live bure kwenye simu yako download app yetu Mapema itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kabisa pia na mechi zote za Nbc premier league na mechi zote za Ulaya kudownload app yetu 

Beki wa Mashujaa Fc Ibrahim Ame ameitwa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kuchukua nafasi ya Abdulrazak Hamza aliyepata majeraha

Hamza alikuwa sehemu ya wachezaji wa Simba waliokuwa wamejumuishwa kikosi cha Stars kwa ajili ya mechi mbili za kuwania kufuzu Afcon 2025 dhidi ya DR Congo

Ali Salim, Mohammed Hussein na Kibu Denis ni wachezaji wengine wa Simba walioko katika kikosi cha Stars

Hamza amekuwa katika kiwango bora tangu alipojiunga na Simba akijihakikishia nafasi kuanza katika kikosi cha kocha Fadlu Davids

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz