Chama Afunguka haya baada ya droo ya CAF CHAMPIONS LEAGUE - EDUSPORTSTZ

Latest

Chama Afunguka haya baada ya droo ya CAF CHAMPIONS LEAGUE

Chama Afunguka haya baada ya droo ya CAF CHAMPIONS LEAGUE

Usikose kuitazama mechi ya SIMBA vs YANGA Live bure kwenye simu yako download app yetu Mapema itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kabisa pia na mechi zote za Nbc premier league na mechi zote za Ulaya kudownload app yetu 👉🏻BONYEZA HAPA


 Kiungo wa Yanga Clatous Chama amesema jambo kubwa analotamani kulifanikisha akiwa na Yanga ni kutwaa taji la ligi ya mabingwa barani Afrika

Chama aliyetua Yanga katika dirisha lililopita la usajili akitokea klabu ya Simba, amefichua kuwa miongoni mwa sababu zilizomfanya atue kwa Wananchi ni pamoja na kiu yake ya kushinda mataji makubwa barani Afrika

"Naweza kusema sababu kubwa kwangu kujiunga na Yanga ilikuwa kufuata changamoto mpya katika maisha yangu ya soka"

"Nina kiu ya kutwaa taji la Afrika. Nilipoitumikia RS Berkane kwa muda mfupi nilifanikiwa kidogo kwani mwishoni mwa msimu waliweza kutwaa kombe la Shirikisho ingawa mimi tayari nikuwa nimeondoka"

"Naamini kwa kujiunga hapa Yanga, naweza kutimiza ndoto hiyo kikamilifu kwa kushirikiana na wenzangu na benchi la ufundi," alisema Chama

Chama pia anafukuzia rekodi nyingine ya ufungaji mabao katika ligi ya mabingwa sasa akiwa na mabao 21

Anahitaji kufunga mabao 10 kufikia rekodi ya Mohammed Aboutrika na Tresor Mputu ambao ni wafungaji bora wa muda wote wa ligi ya mabingwa wakiwa wamefunga mabao 31 kila mmoja

Wachezaji hao tayari wamestaafu huku Chama akiwa bado na misimu kadhaa ya kuifukuzia rekodi hiyo

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz