Alicho kisema kocha mkuu wa simba baada ya kutoa sare na Coastal union leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Alicho kisema kocha mkuu wa simba baada ya kutoa sare na Coastal union leo

Alicho kisema kocha mkuu wa simba baada ya kutoa sare na Coastal union leo

Usikose kuitazama mechi ya DR CONGO vs TANZANIA Live bure kwenye simu yako download app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kabisa pia na mechi zote za Nbc premier league na mechi zote za Ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Simba imedondosha alama mbili uwanja wa KMC Complex leo baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa ligi kuu ya NBC

Unaweza kusema mlinda lango Moussa Camara leo alikuwa na siku mbaya kwani aliruhusu mabao mawili yanayofanana yote yakifungwa kutokea nje ya 18

Simba ilitangulia kufunga mabao yake mawili katika kipindi cha kwanza kupitia kwa Mohammed Hussein na Lionel Ateba aliyefunga kupitia mkwaju wa penati

Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amesema hayakuwa matokeo mazuri kwao kwani walikuwa na nafasi ya kushinda mchezo huo

"Tunacheza vizuri na kutengeneza nafasi nyingi lakini tunapaswa kuongeza ukatili mbele ya lango. Wapinzani wetu wamepata nafasi mbili na wamefunga mabao mawili, sisi tulipata nafasi nyingi zaidi hatukuzitumia ipasavyo"

"Tunarejea katika uwanja wa mazoezi kuboresha mapungufu yaliyojitokeza ili kuhakikisha haturudii makosa katika mchezo unaofuata dhidi ya Yanga," alisema Fadlu

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz