Yanga yaichapa Cosmopolitan 2-0 - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yaichapa Cosmopolitan 2-0

Yanga yaichapa Cosmopolitan 2-0


Leo michuano ya kufuzu kombe la mataifa ya africa AFCON inaendelea ambapo timu mbali mbali zitakuwa viwanjani kuanzia mida ya saa moja jioni usikose kutazama mechi zote live bure kupitia simu yako pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam Tv na Dstv bure pia mechi za ligi kuu tz bara na ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Kikosi cha Yanga leo kilicheza mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya Cosmopolitan Fc ya jijini Dar es salaam inayojiandaa na ligi ya Championship

Mchezo huo uliopigwa saa 3 asubuhi uwanja wa Manispaa ya Kinondoni, ulimalizika kwa Wananchi kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 yote yakifungwa na Maxi Nzengeli

Licha ya kuwakosa wachezaji 14 ambao wako kwenye majukumu ya timu za Taifa, Yanga inaendelea na maandalizi yake kuelekea mchezo wa raundi ya pili ligi ya mabingwa dhidi ya CBE

Mchezo wa mkondo wa kwanza utapigwa Ethiopia Septemba 14 na marudiano kupigwa Tanzania, Septemba 21

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz