Wababe 16 waliotinga makundi CAF CL - EDUSPORTSTZ

Latest

Wababe 16 waliotinga makundi CAF CL

Wababe 16 waliotinga makundi CAF CL

Usikose kuitazama mechi ya YANGA vs KEN GOLD Live bure kwenye simu yako download app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kabisa pia na mechi zote za Nbc premier league na mechi zote za Ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Yanga ni klabu pekee katika ukanda wa Afrika Mashariki kutinga hatua ya makundi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika ikiungana na wababe wengine 15 kutoka pande nyingine za Afrika

Baada ya kucheza fainali ya kombe la Shirikisho 2022/23 na robo fainali ya ligi ya mabingwa 2023/24, Yanga imepaa katika 'ranking' za CAF sasa ikiingia 10 bora

Kuelekea droo ya makundi itakayofanyika Oktoba 07 huko Misri, Yanga itakuwa poti ya pili sambaba na Raja CA, Pyramids na CR Belouizdad. Timu hizi hazitakuna na Yanga katika hatua ya makundi. Wananchi watapangwa dhidi ya timu kutoka poti 1, 3 na 4

Poti 1 ina Al Ahly, Esperance, Mamelodi Sundowns na TP Mazembe

Poti 3 ina Al Hilal, Orlando Pirates, Sagrada Esperanca na AS Far Rabat

Poti 4 ina MC Alger, Djoliba, Stade De Abdijan na Maniema Union

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz