Simba iko poti 1 droo ya makundi CAF CC - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba iko poti 1 droo ya makundi CAF CC

Simba iko poti 1 droo ya makundi CAF CC


Usikose kuitazama mechi ya AZAM FC vs SIMBA Live bure kwenye simu yako download app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kabisa pia na mechi zote za Nbc premier league na mechi zote za Ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Al Ahli Tripoli hapo jana na kujihakikishia tiketi ya kucheza hatua ya makundi CAF CC, Mnyama atakuwa katika poti 1 kwenye droo ya makundi itakayofanyika Oktoba 07 Cairo, Misri

Katika poti 1 Simba iko pamoja na vigogo wengine Zamalek, RS Berkane na USM Alger. Habari njema ni kuwa timu hizi hazitakutana katika hatua ya makundi

Kwenye makundi Simba itapangwa dhidi ya timu kutoka poti 2, 3 na zile ambazo hazina alama

Katika poti 2 kuna Asec Mimosas, Stade Malien, Al Masry na CS Sfaxien

Katika poti  3 kuna Enyimba na ASC Jaaraf huku timu nyingine 6 hazina alama zinaunda poti ya 4

Timu hizo ni CS Constantine, Bravos do Maquis, Lunda Sul, Orapa United, Black Bulls na Stellenbosch

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz