Ratiba ya Mechi za Simba mwezi huu September - EDUSPORTSTZ

Latest

Ratiba ya Mechi za Simba mwezi huu September

Ratiba ya Mechi za Simba mwezi huu September

Leo michuano ya kufuzu kombe la mataifa ya africa AFCON inaendelea ambapo timu mbali mbali zitakuwa viwanjani kuanzia mida ya saa moja jioni usikose kutazama mechi zote live bure kupitia simu yako pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam Tv na Dstv bure pia mechi za ligi kuu tz bara na ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Kwa sasa akili ya Simba iko katika michuano ya kombe la Shirikisho (CAF CC) ambapo Mnyama anahitaji kuiondosha Al Ahly Tripoli na kutinga hatua ya makundi

Ni mechi mbili muhimu za kuamua hatma ya michuano hiyo ambapo mchezo wa kwanza utapigwa Septemba 15 huko Libya na mechi ya marudiano kupigwa Septemba 22 jijini Dar es salaam katika uwanja wa Benjamin Mkapa

Baada ya kumalizana na Al Ahly Tripoli, Simba itarejea katika mikiki mikiki ya ligi kuu ya NBC ambapo Mnyama atakabiliwa na mechi nyingine mbili za kukamilisha mwezi Septemba

Mzizima Dabi ndio itakayofuata, Septemba 26 Simba ikichuana na Azam Fc katika mchezo utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa na kisha Mnyama kusafiri mkoani Dodoma/Manyara kuikabili Dodoma Jiji katika mchezo mwingine wa ligi kuu utakaopigwa Septemba 29

Simba imeanza vyema ligi kwa kushinda mechi mbili za mwanzo na kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali ametamba kuwa Mnyama hana mpango wa kuondoka kileleni mpaka 'kieleweke!'


KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz