Rasmi: Yanga yafuta kesi dhidi ya Kagoma - EDUSPORTSTZ

Latest

Rasmi: Yanga yafuta kesi dhidi ya Kagoma

Rasmi: Yanga yafuta kesi dhidi ya Kagoma

Leo michuano ya kufuzu kombe la mataifa ya africa AFCON inaendelea ambapo timu mbali mbali zitakuwa viwanjani kuanzia mida ya saa moja jioni usikose kutazama mechi zote live bure kupitia simu yako pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam Tv na Dstv bure pia mechi za ligi kuu tz bara na ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Menejimenti ya mchezaji Yusuph Kagoma imeushukuru uongozi wa Yanga chini ya Rais Injinia Hersi Said kwa kumsamehe mteja wao ili aendelee kuitumikia klabu ya Simba

Yanga imeondoa shauri lake dhidi ya Kagoma katika Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF ambapo mchezaji huyo alishitakiwa kwa kufanya udanganyifu baada ya kusaini pamoja na kupokea sehemu ya malipo kutoka klabu ya Yanga lakini akaenda kujiunga na Simba

Taarifa iliyotolewa na menejimenti ya Kagoma, imethibitisha kumalizika kwa sakata hilo

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz