Rasmi: Simba yaachana na Lameck Lawi - EDUSPORTSTZ

Latest

Rasmi: Simba yaachana na Lameck Lawi

Rasmi: Simba yaachana na Lameck Lawi

Usikose kuitazama mechi ya TANZANIA vs ETHIOPIA leo live bure kupitia simu yako download app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Klabu ya Simba imeachana na mpango wa usajili wa beki Lameck Lawi kutoka klabu ya Coastal Union, imefahamika

Lawi amerejea nchini hivi karibuni baada ya mpango ya kujiunga na KAA Genk ya Ubelgiji kukwama

Mchezaji huyo aliingia kwenye mgogoro baada ya kusaini klabu ya Simba wakati huohuo klabu yake ya Coastal Union ikigoma kumuachia kwa madai Simba haikukamilisha mchakato wa usajili wake kwa wakati

Simba ilipeleka malalamiko yake Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji lakini taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba imethibitisha kuwa Wekundu hao wa Msimbazi wamefuta shauri hilo

Simba imechukua uamuzi huo kwa kile kilichoelezwa kuzingatia maslahi ya mchezaji ili kumruhusu aendeleze kukuza kipaji chake

Lawi (18) alipata nafasi ya kwenda kufanya majaribio nchini Ubelgiji hata hivyo hakufanikiwa

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz