Ni Jumapili ya kuwakaanga warabu uwanja wa benjamini mkapa - EDUSPORTSTZ

Latest

Ni Jumapili ya kuwakaanga warabu uwanja wa benjamini mkapa

Ni Jumapili ya kuwakaanga warabu uwanja wa benjamini mkapa

Usikose kuitazama mechi ya SIMBA vs AL AHLI TRIPOLI Live bure kwenye simu yako download app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utweza kutazama chanel za AZAM TV na DSTV bure kabisa pia na mechi zote za Nbc premier league na mechi zote za Ulaya kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Itakuwa kama vita pale uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumapili, Septemba 22 katika mchezo wa mkondo wa pili kuwania tiketi ya kutinga hatua ya makundi michuano ya kombe la Shirikisho barani Afrika

Majira ya saa 10 jioni Simba itakuwa mbele ya mashabiki wake kusaka ushindi utakaowapeleka hatua ya makundi Wekundu hao wa Msimbazi

Ni Jumapili ya kuwakaanga! Kila Mwanasimba anapaswa kufahamu hivyo kwani yanahitajika matokeo ya aina moja tu, USHINDI

Kila Mwanasimba kindakindaki ambaye yuko jijini Dar es salaam na mikoa ya jirani anapaswa kuwa dimba la Mkapa, kuwaongezea hamasa wachezaji

Lengo ni kuhakikisha mashabiki 60,000 wanaingia uwanjani kuwashushia pumzi ya moto 'wamanga' hao

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba Ahmed Ali ametangaza, Jumapili makutano ya Wanasimba ni dimba la Mkapa

Mwamba kabisa, kiungo fundi Yusuph Kagoma amepewa heshima ya kuwa mgeni rasmi wa mchezo huo...!

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz