Job awatoa hofu mashabiki wa Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Job awatoa hofu mashabiki wa Yanga

Job awatoa hofu mashabiki wa Yanga


Usikose kuitazama mechi ya CBE SA vs YANGA Live bure kupitia simu yako download app yetu itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii live bure pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Juzi katika mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon 2025 ambapo Tanzania ilikuwa ugenini kukabiliana na Guinea, beki Dickson Job alizua hofu kwa Wananchi baada ya kupata majeraha ambayo yalimfanya ashindwe kuendelea na mchezo ikiwa ni dakika ya 9

Job alipata maumivu ya kichwa baada ya kugongana na mchezaji wa Guinea, alipatiwa msaada na madaktari kabla ya kutolewa nje nafasi yake ikichukuliwa na Bakari Nondo Mwamnyeto

Job amewatoa hofu Wananchi kuwa yuko sawa kiafya tayari kuitumikia Yanga katika mchezo dhidi ya CBE siku ya Jumamosi

"Nilipata changamoto ambayo ilinifanya nishindwe kuendelea na mchezo baada ya kugongana na mchezaji wa Guinea hadi kupelekea kuathiri uwezo wangu wa kuona kwa muda"

"Lakini sasa naona vizuri, mashabiki wasiwe na wasiwasi nitarudi kazini kwenye majukumu yangu, hadi sasa ninavyojisikia naona nitaweza kuwa sehemu ya timu kwenye mechi inayofuata kule Addis Ababa," alisema

Yanga iliondoka nchini mapema leo ikiwa na wachezaji ambao hawakuwa na majukumu ya timu za Taifa. Wataungana na wenzao Addis Ababa

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz