Yanga yatangaza viingilio mechi dhidi ya Vital'o - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yatangaza viingilio mechi dhidi ya Vital'o

Yanga yatangaza viingilio mechi dhidi ya Vital'o


Usikose kuitazama mechi ya YANGA vs VITALO na SIMBA vs SINGIDA FG Live bure kupitia simu yako download app yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi zote LIVE bure pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama mechi zote za ulaya pia na chanel za Azam tv na Dstv bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻 HAPA


 Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Yanga Ali Kamwe amewataka mashabiki na Wanachama wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumamosi katika mchezo wa mkondo wa pili hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Vital'o

Kamwe amesema Yanga imepania kupeleka ujumbe barani Afrika siku ya Jumamosi kwa kujaza uwanja wa Benjamin Mkapa katika mechi za hatua ya awali

Aidha Kamwe amewaahidi Wananchi siku hiyo wanakwenda kujaza kapu la mabao ili kuhakikisha wanaondoka na fedha za kutosha kutokana na goli la Mama

Kamwe ametangaza viingilio vya mchezo huo utakaoanza saa 1 usiku kuwa Mzunguuko na Machungwa ni Tsh 5,000/-, VIP C Tsh 10,000/-, VIP B Tsh 20,000/-, na VIP A ni Tsh 30,000/-

"Tiketi tayari zimeanza kuuzwa, nawaomba Wananchi tununue tiketi mapema tuache mazoea ya kununua tiketi siku za mwisho ili kuepuka changamoto zisizotarajiwa," alisema Kamwe

Kamwe amesema Jumamosi Yanga itazindua rasmi msimu wa ligi ya mabingwa 2024/25 kwa ushindi mnono mbele ya mashabiki wake

Aidha Kamwe amethibitisha msimu huu utaratibu wa mechi kupewa majina ya wachezaji hautakuwepo, baadae watatangaza utaratibu mpya ambao utatumika kuhamasisha mechi za Kimataifa

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz