Simba kufunga usajili kibabe leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba kufunga usajili kibabe leo

 Simba kufunga usajili kibabe leo

Usikose kuitazama mechi ya VITALO FC vs YANGA kesho kutwa miachuano ya Caf champions league LIVE bure kupitia simu yako pia SIMBA vs TABORA UNITED download app yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure download sasa app yetu kuidownload bonyeza 👉🏻HAPA


Kiungo Awesu Awesu bado yuko na kikosi cha Simba kinachoendelea na maandalizi ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Tabora United utakaopigwa Jumapili, August 18 katika uwanja wa KMC

Jana baada Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji ya TFF kumrejesha Awesu kunako klabu ya KMC, uongozi wa Simba ulifungua mazungumzo na KMC kwa ajili ya kumaliza sintofahamu iliyojitokeza

Mwenyekiti wa KMC, Kheri Nassoro amethibitisha kuwepo kwa mazungumzo hayo na kudokeza jambo hilo litamalizika na Awesu ataruhusiwa kuitumikia Simba

Awali KMC walihitaji Tsh Milioni 200 dau ambalo Simba haikukubaliana nalo na hivyo kupelekea klabu hizo kukaa mezani kujadiliana ili kumaliza sakata hilo kwa maslahi ya mchezaji ambaye amesisitiza hayuko tayari kurejea KMC na kama itashindikana kujiunga na Simba basi atastaafu rasmi soka na atarejea kwao Zanzibar kuvua samaki

Dirisha la usajili linafungwa leo Alhamisi, saa 5:59 usiku bila shaka mwafaka utapatikana mapema

Katika hatua nyingine, leo Simba huenda ikatambulisha usajili wa mshambuliaji Lionel Ateba raia wa Cameroon liyetua Msimbazi akitokea klabu ya USM Alger ya Algeria

Ateba tayari yuko nchini ambapo imeelezwa amesaini mkataba wa miaka miwili kuwatumikia wekundu hao wa Msimbazi

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz