Samatta, Msuva watemwa Taifa Stars, Job arejea - EDUSPORTSTZ

Latest

Samatta, Msuva watemwa Taifa Stars, Job arejea

Samatta, Msuva watemwa Taifa Stars, Job arejea

Usikose kuitazama mechi ya KAGERA SUGAR vs YANGA live bure kupitia simu yako download app yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii live bure pia ndani ya app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na DSTV bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Samatta, Msuva watemwa Taifa Stars, Job arejea

Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa Tanzania Hemed Seleman ‘Moroco’ amewatema baadhi ya mastaa wa kikosi hicho, huku akimrejesha kikosini mlinzi Dickson Job.

Stars inayotarajiwa kuingia kambini keshokutwa inajiandaa na michezo miwili ya kutafuta nafasi ya kufuzu Mataifa Afrika 2025 itakayochezwa nchini Morocco.

Katika kikosi hicho kilichoitwa kocha Moroco hajawaita wachezaji Kelvin John ‘Mbappe’ nahodha wa kikosi Mbwana Samatta na, Simon Msuva wanaocheza soka lao ughaibuni.

Samatta na Msuva wametemwa kikosini huku beki Dikson Job akirudishwa baada ya kuwapo na tetesi za kuwa na sintofahamu na kocha huyo.

Morocco alitolea ufafanuzi ishu ya Job akisema, "Mimi na Job tumezungumza yameisha salama."

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz