Maofisa Habari wanaochekesha kulimwa rungu na TFF - EDUSPORTSTZ

Latest

Maofisa Habari wanaochekesha kulimwa rungu na TFF

Maofisa Habari wanaochekesha kulimwa rungu na TFF

Ni kesho Usikose kuitazama mechi ya SIMBA vs YANGA Live bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili usipitwe na mechi hii live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam tv na Dstv bureee download sasa app yetu kudownload App yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Maofisa Habari wanaochekesha kulimwa rungu na TFF

Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo amesema msimu huu watatoa adhabu kwa Maofisa Habari wa timu wanaochekesha na kushindwa kuzungumzia Mpira huku akizikumbusha klabu kufuata kanuni kwa kuajiri maafisa habari wenye elimu ya habari.

Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo amesema msimu huu watatoa adhabu kwa Maofisa Habari wa timu wanaochekesha na kushindwa kuzungumzia Mpira huku akizikumbusha klabu kufuata kanuni kwa kuajiri maafisa habari wenye elimu ya habari. “Kuna Muda unamsikiliza Ofisa Habari wa timu na kujiuliza, huyu ni kiongozi wa timu au mchekeshaji? Niseme tu ndugu zangu, msimu ujao 24|25 tutadili na watu hawa kwa kuwapa adhabu,“ amesema Almas Kasongo.

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz