Majanga Simba SC, Mutale nje wiki mbili - EDUSPORTSTZ

Latest

Majanga Simba SC, Mutale nje wiki mbili

Majanga Simba SC, Mutale nje wiki mbili

Usikose kuitazama mechi ya YANGA vs VITALO FC kesho live bure kupitia simu yako download app yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii live bure pia ndani ya app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na DSTV bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Joshua Mutale

Daktari wa Simba SC Edwin Kagabo amesema kiungo mshambuliaji Joshua Mutale atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kuuguza jeraha lililokuwa linamsumbua.

Mutale alipata maumivu ya nyama za paja katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Tabora United uliopigwa katika Uwanja wa KMC Agosti 18.

Dkt. Kagabo amesema Mutale hajapata majeraha makubwa lakini ili kumlinda asiumie zaidi atakuwa nje ya uwanja kwa muda huo.

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz