Israel Mwenda asaini Singida Black Stars - EDUSPORTSTZ

Latest

Israel Mwenda asaini Singida Black Stars

Israel Mwenda asaini Singida Black Stars

Usikose kuitazama mechi ya VITALO FC vs YANGA kesho kutwa miachuano ya Caf champions league LIVE bure kupitia simu yako download app yetu itakayokuwezesha kuitazama mechi hii bure kabisa pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure download sasa app yetu kuidownload bonyeza 👉🏻HAPA

Israel Mwenda

Israel Mwenda amesaini mkataba wa miaka mitatu na Klabu ya Singida Black Stars baada ya kukubaliwa ombi lake la kuondoka katika klabu ya Simba SC.

Mwenda mwenye umri wa miaka 24 amesaini Singida baada ya kuilipa fedha Simba Sports Club kama walivyokubaliana baada ya kuomba kuondoka klabuni hapo.

Israel Mwenda ambaye ametumika kwa miaka mitatu ndani ya kikosi cha Simba, alitakiwa alipe fedha ili aachiwe huru kwenda sehemu yoyote.

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz