Chama afurahia mwanzo mzuri Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Chama afurahia mwanzo mzuri Yanga

Chama afurahia mwanzo mzuri Yanga


Ni kesho kutwa Usikose kuitazama mechi ya SIMBA vs YANGA Live bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili usipitwe na mechi hii live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel zote za Azam tv na Dstv bureee download sasa app yetu kudownload App yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Kiungo mshambuliaji wa Yanga Clatous Chama amefurahia mwanzo mzuri na Wananchi juzi akiwa sehemu ya kikosi kilichohitimisha wiki ya Mwananchi kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Red Arrows ya Zambia

Chama alitua Yanga katika dirisha hili la usajili akitokea klabu ya Simba ambayo pengine keshokutwa atashuka dimbani kuikabili katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa

"Tumepata mechi nzuri katika wiki ya Mwananchi na maandalizi mazuri ya pre-season kwa kucheza mechi za Kimataifa"

"Nafurahi tumeshinda na kufunga Tamasha la Wiki ya Mwananchi kwa furaha. Hongera kwa umoja wa timu na tutarajie ushindi zaidi," aliandika Chama katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii

Chama ni miongoni mwa wachezaji wanaotarajiwa kufanya mambo makubwa katika kikosi cha Yanga msimu huu

Wale wanaompima kupitia mechi hizi za pre-season wasimalize maneno, wasubiri kumuona katika mechi za mashindano

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz