Azam kuboronga, Fei Toto autaja uongozi, afunguka kwenda Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Azam kuboronga, Fei Toto autaja uongozi, afunguka kwenda Simba

Azam kuboronga, Fei Toto autaja uongozi, afunguka kwenda Simba

Usikose kuitazama mechi ya KAGERA vs YANGA live bure kupitia simu yako download app yetu mapema itakayo kuwezesha kuitazama mechi hii live kabisa buree pia ndani ya app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Azam kuboronga, Fei Toto autaja uongozi, afunguka kwenda Simba

Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Azam, Feisal Salum amezungumza baada ya timu yake kupata alama moja dhidi ya JKT Tanzania ikiwa ni siku chache baada ya kuondolewa kwenye michuano ya ya CAFCL katika hatua za awali kabisa.

Azam waliambulia sare ya bila kufungana na wajeda wa JKT Tanzania katika Dimba la Meja Jenerali Isamhuyo uliopo Mbweni Dar es Salaam mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu ya NBC msimu huu.

“Kuondolewa mapema kwenye CAFCL, sisi kama wachezaji haijakuta kitu. Viongozi wanajua tunatakiwa tushiriki kwa namna gani, tujipange vingi ili tuweze kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa, kwa hiyo msimu huu tumetolewa lakini tutajipanga ili msimu ujao tufike hatua ya makundi.

“Fei Toto ni yuleyule kila siku ninasema, sijabadilika, mashabiki zangu waendelee kunisapoti, nitaipambania Azam FC na mambo mazuri yanakuja. Waache waongee kwa sababu huwezi kumzuia mtu kuongea, sisi kama Azam Fc tutaendelea kuipambania klabu yetu na si kingine. Ligi ndiyo imeanza na kila mchezaji anataka kuipambania timu.

“Kuhusu kuhamia Simba siwezi kuzungumzia hilo, wacha tuendelee na ligi kwanza, acha niipambanie timu yangu iliyopo mambo mengine yatakuja baadaye,” amesema Fei Toto.

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz