Yanga yanpa 'Thank you' Augustine Okrah - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yanpa 'Thank you' Augustine Okrah

Yanga yanpa 'Thank you' Augustine Okrah

Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Augustine Okrah

Kiungo mshambuliaji raia wa Ghana, Augustine Okrah, hatakuwa sehemu ya kikosi cha Young Africans msimu ujao 2024-2025.

Nyota huyo ambaye amewahi kuichezea Simba SC msimu mmoja, alitua Young Africans Januari 2024 akitokea Bechem United ya Ghana na kuitumikia timu kwa kipindi cha miezi sita.

Okrah licha ya kucheza Young Africans kwa muda mfupi wa miezi sita, lakini mchango wake umeonekana katika mafanikio ya timu.

Kiungo huyo anaondoka Young Africans akiwa ameshinda ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Kombe la CRDB Bank Federation msimu wa 2023-2024 na kuwa sehemu ya kikosi kilichocheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.


Taarifa iliyotolewa na Idara ya Habari ya Yanga imeelza; "Young Africans SC tunamtakia kila la kheri Okrah katika safari yake ya soka."

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz