Yanga yampa 'Thank You' zawadi Mauya - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yampa 'Thank You' zawadi Mauya

Yanga yampa 'Thank You' zawadi Mauya

SIMBA DAY na SIKU YA MWANANCHI ni hivi karibuni usikose kutazama Live matukio haya makubwa kupitia simu yako pia ligi kuu tz bara, Ngao ya Jamii navyo vinakaribia pia michuano ya EURO 2024 inaendelea usikose kutazama haya yote live bure kwenye simu yako download app yetu kutazama yote haya pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv zote bure pia kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili download sasa kuenjoy, kudownload app yetu bonyeza HAPA

Breaking: Yanga yampa 'Thank You' zawadi Mauya

Klabu ya Young Africans imetangaza kuachana na aliyekuwa kiungo wake mkabaji, Zawadi Mauya ambaye hatakuwa sehemu ya kikosi cha Young Africans msimu ujao 2024-2025 baada ya mkataba wake kutamatika.

Klabu ya Young Africans imetangaza kuachana na aliyekuwa kiungo wake mkabaji, Zawadi Mauya ambaye hatakuwa sehemu ya kikosi cha Young Africans msimu ujao 2024-2025 baada ya mkataba wake kutamatika. Mauya mwenye umri wa miaka 37 ambaye amekuwa mchezaji wa Young Africans SC kwa kwa misimu minne, anaondoka akiwa amemaliza muda wake. Kiungo huyo alitua Young Africans mwanzoni mwa msimu wa 2020-2021 akitokea Kagera Sugar.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz