Yanga yabadili gia kwa Sowah - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yabadili gia kwa Sowah

Yanga yabadili gia kwa Sowah


Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Kuna uwezekano mkubwa Yanga ikamsajili mshambuliaji Jean Baleke na kuachana na mpango wa kumsajili Jonathan Sowah

Baleke yuko nchini tangu wiki iliyopita ambapo taarifa za uhakika ni kuwa Yanga imefanya mazungumzo nae na kukubaliana masuala binafsi

Hata hivyo bado mchezaji huyo ni mali ya TP Mazembe hivyo mabosi wanapambana kumalizana na Mazembe

Sowah alikuwa katika nafasi nzuri ya kutua Yanga lakini ni wazi kile kilichotokea kwa Hafiz Konkoni na Augustine Okrah kimewapa hofu viongozi wa Yanga juu ya kusajili mchezaji mwingine kutoka Ghana

Baleke aliitumikia Simba kwa mmoja kabla ya kuelekea Libya alikotolewa kwa mkopo na klabu yake ya TP Mazembe

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz