Yanga yaalikwa Mpumalanga Premier International Cup - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yaalikwa Mpumalanga Premier International Cup

Yanga yaalikwa Mpumalanga Premier International Cup


Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Wakati yuko Afrika Kusini kuhudhuria uzinduzi wa Toyota Cup, Rais wa Yanga Injinia Hersi Said alipokea mwaliko wa mashindano mengine yatafanyika Afrika Kusini kuanzia Julai 20-27

Michuano hiyo inaitwa Mpumalanga Premier's International Cup ambayo itashirikisha timu nne

Pamoja na Yanga, timu nyingine iliyoalikwa ni Augusburg inayoshiriki ligi kuu ya Ujerumani 'Bundesliga'

TS Galaxy na Mbabane Swallows ndio timu wenyeji wa michuano hiyo maalum ya pre-season

Ikumbukwe Yanga itakuwa Afrika Kusini kwa ajili ya mchezo wa Toyota Cup dhidi ya Kaizer Chiefs

Michuano hii inaweza kuwa sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo huo

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema watatoa taarifa rasmi kuhusu michuano hiyo pamoja na ratiba yao kamili ya pre-season ambapo timu imeanza kujifua Avic Town

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz