Yanga tayari iko Bloemfontein - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga tayari iko Bloemfontein

Yanga tayari iko Bloemfontein

Ni kesho saa 10:00 jioni YANGA vs KAIZER CHIEF usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Kikosi cha Yanga kiliwasili mji wa Bloemfontein jana jioni tayari kwa mchezo dhidi ya Kaizer Chiefs ambao utapigwa kesho Jumapili katika uwanja wa Toyota

Yanga iliweka kambi Mpumalanga ambako ilishiriki michuano ya Mpumalanga Premier's International Cup ambayo pia ilizishirikisha klabu za Augsburg na TS Galaxy

Baadae kikosi kikarejea Johanesburg ambako waliweka kambi ya muda mfupi kabla ya kikosi kuelekea Bloemfontein

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz