Yanga: Ndoto ya Manji inakwenda kutimia hivi karibuni - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga: Ndoto ya Manji inakwenda kutimia hivi karibuni

Yanga: Ndoto ya Manji inakwenda kutimia hivi karibuni

Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Yusuf Manji

Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga Afrika, Ali Kamwe amesema kuwa ndoto ya mfadhili na Mwenyekiti wa zamani wa klabu hiyo, Yusufu ManJi inakwenda kutimia siku si nyingi.

Amesema Manji alikuwa na ndoto ya kuona Yanga inatwaa ubingwa wa Afrikana kwamba timu hiyo inaendelea kujipanga kutimiza ndoto hiyo. Manji alifariki dunia hivi laribuni nchini Marekani alikokuwa akitibiwa.

Kufuatia kifo hicho, Kamwe ametoa salamu za pole kwa mashabiki wote nawapenzi wa Yanga na kumwombea mapumziko mema huko alikotangulia.

"Kwa níaba ya viongozi wa Young Africans, kamati ya utendaji yote, sekretarieti, wanachama, mashabiki na wapenzi wa Yanga tumepokea kwa mshtuko sana taarifa ya msiba huus. Sisi Yanga tutaendelea kumwenzi ManJi na tunaomba Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi," amesema Kamwe.


Kamwe amesema hayo leo Julai 1, 2024 katika Makao Makuu ya Klabu ya Yanga, Jangwani Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya kusherehekea ujio wa Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama ambaye Jana alimaliza mkataba wakena Klabu ya Simba na leo ametangazwa rasmi kwa ni 'Mwananchi'.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz