Yanga ipo Tayari kwa Toyota Cup - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga ipo Tayari kwa Toyota Cup

Yanga ipo Tayari kwa Toyota Cup

LIVE: Itazame mechi ya KAIZER CHIEF vs YANGA michuano ya Toyota cup

Ni kesho kutwa saa 10:00 jioni usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Yanga tayari iko Johanesurg kwa ajili ya mchezo wa Toyota Cup dhidi ya Kaizer Chiefs ambao utapigwa Jumapili, Julai 28 katika uwanja wa Toyota, Bloemfontein

Ni mwaliko ambao Yanga walipewa na Kaizer Chiefs kama walivyofanya Wananchi msimu uliopita kwa kuialika timu hiyo katika kilele cha wiki ya Mwananchi

Wakati huu Kaizer na Yanga zinachuana katika mchezo ambao ni kama fainali kwani mshindi ataondoka na taji la Toyota

Utakuwa mchezo utakaowakutanisha makocha Nasrededine Nabi wa Kaizer na Miguel Gamondi wa Yanga

Hii itakuwa mara ya kwanza kwa Nabi kuchuana na waajiri wake wa zamani Yanga katika mchezo ambao hakuna shaka utakuwa na upinzani mkali

Asilimia kubwa ya wachezaji wa Yanga ambao Nabi aliwafundisha bado wapo, kwa kiasi kikubwa wanafahamu mbinu za kocha huyo na watakuwa tayari kukabiliana nae

Katika msimu wake mmoja alioinoa Yanga, Gamondi amejipambanua ni kocha wa aina gani hasa zinapokuja mechi kubwa

Ni wazi atataka kushinda mchezo huo ili kumuonyesha Nabi ni kwa kiasi gani Yanga imepiga hatua kubwa chini yake

Mtanange utapigwa Jumapili, saa 10 jioni kwa saa za Tanzania mechi pia itakuwa live kwenye app yetu kama hujaidownload idownload sasa ili usipitwe

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz