Yanga ina jambo lake Julai 24 Afrika Kusin - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga ina jambo lake Julai 24 Afrika Kusin

Yanga ina jambo lake Julai 24 Afrika Kusini


LIVE: Itazame mechi ya SIMBA vs EL-QANAH FC mechi ya kirafiki  Live hapa bure

Ni leo saa 11:30 jioni usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Yanga bado iko Afrika Kusini ikiwa na ratiba ya kucheza mechi nyingine mbili kabla ya kurejea nchini kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi

Jumatano Julai 24, Yanga ina jambo lake huko Afrika Kusini katika mji wa Durban, Hotel ya Blue Waters kuanzia saa 5 asubuhi

Wananchi hawajawahi kuwa na jambo dogo! Je ni surprise ya uzinduzi wa jezi?

Mwaka jana Yanga ilizindua jezi za msimu mpya Ikulu ya Malawi kisha kuwakabidhi Rais wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan na mwenyeji wake, Rais wa Malawi Dk. Lazarus McCarthy Chakwera

Siku iliyofuata Yanga ikacheza mechi ya  kirafiki dhidi ya Nyasa Big Bullets katika maadhimisho ya sherehe za Uhuru, Malawi

Pengine tukio kama hilo linakwenda kujiri Afrika Kusini...!

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz