Yanga dimbani dhidi ya TS Galaxy leo - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga dimbani dhidi ya TS Galaxy leo

Yanga dimbani dhidi ya TS Galaxy leo

LIVE: Itazame mechi ya YANGA vs TS GALAXY michuano ya mpulamanga cup Live hapa bure

Ni leo saa 10:00 jioni usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Baada ya kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Augsburg katika michuano ya Mpumalanga Premier's International Cup, Yanga leo inashuka tena dimbani kumenyana na TS Galaxy katika mchezo wa pili ambao utahitimisha ushiriki wa Yanga katika michuano hiyo maalum ya pre-season

TS Galaxy inashiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini ambapo msimu uliopita ilimaliza katika nafas ya 6

Akizungumzia maandalizi ya Yanga kuelekea mchezo huo utakaopigwa saa 10 jioni, Meneja wa Yanga Walter Harrison amesema ni mchezaji mmoja tu ambaye atakosekana lakini wengine wote wako tayari

"Tumejiandaa vyema kwa ajili ya mchezo huu, ukimuondoa Chadrack Boka ambaye alipata changamoto katika mchezo uliopita, wengine wote wako tayari na wanaweza kutumika katika mchezo huo," alisema Walter

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anatarajiwa kuwapa nafasi wachezaji wote katika mchezo huo hivyo tutarajie mabadiliko ya kikosi kwenye kila kipindi

App yetu itarusha mchezo huo 'mbashara 'kuanzia saa 10 jioni (saa 9 Afrika Kusini)

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz