Vital'o vs Yanga kupigwa Azam Complex - EDUSPORTSTZ

Latest

Vital'o vs Yanga kupigwa Azam Complex

Vital'o vs Yanga kupigwa Azam Complex


LIVE: Itazame mechi ya KAIZER CHIEF vs YANGA michuano ya Toyota cup


Ni kesho kutwa saa 10:00 jioni usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Mabingwa wa ligi kuu ya Burundi Vital'o wanatarajiwa kutumia uwanja wa Azam Complex katika mchezo wa mkondo wa kwanza hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika dhidi ya Yanga

Vital'o wamelazimika kuleta mchezo huo Dar kwa kuwa Burundi haina uwanja uliokidhi matakwa ya CAF kwa ajili ya michuano hiyo

Ni wazi sasa Yanga haitasafiri nje ya Tanzania katika mechi zake za hatua ya awali zitakazopigwa August 16-18 na August 24-26

Yanga inatarajiwa kutumia uwanja wa Benjamin Mkapa katika mechi ya mkondo wa pili

Msimu huu Yanga imeweka malengo makubwa katika michuano ya ligi ya mabingwa ambapo Wananchi wanautaka ubingwa wa Afrika

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz