Taarifa Mpya kutoka yanga jioni hii ni kuhusu Pacome - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kutoka yanga jioni hii ni kuhusu Pacome

Taarifa Mpya kutoka yanga jioni hii ni kuhusu Pacome
Ni kesho kutwa saa 10:00 jioni YANGA vs KAIZER CHIEF usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Kiungo mshambuliaji wa Yanga Pacome Zouzoua leo ameshiriki mazoezi ya Yanga katika jiji la Johanesburg kuelekea mchezo wa Toyota Cup dhidi ya Kaizer Chiefs utakaopigwa JUmapili, Julai 28 na utakuwa live bure kwenye app yetu kuitazama mechi hii download app yetu  👉🏻HAPA

Pacome alitua Afrika Kusini juzi usiku akitokea Ivory Coast ambapo nyota huyo alipewa ruhusa kwenda kushughulikia masuala ya kifamilia

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz