Simba yatua kwa Awesu - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba yatua kwa Awesu

Simba yatua kwa Awesu


Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻 HAPA


 Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba ni kuwa Wekundu hao wa Msimbazi huenda wakafunga usajili wa ndani na kiungo Awesu Awesu aliyeitumikia KMC msimu uliopita

Awesu alikuwa na msimu bora katika kikosi cha KMC msimu uliopita nyota huyo wa zamani wa Azam Fc akiwa mahodha wa timu hiyo

Simba imeongeza mafundi zaidi katika eneo la kiungo, Awesu ni 'technician' ambaye hazungumzwi sana kwa sababu hachezi timu kubwa lakini kama atatua Simba wengi watapata fursa ya kutambua ubora wake

Aidha Simba bado haijamtambulisha kiungo Yusuph Kagoma ambaye inaelezwa ana changamoto katika usajili wake

Simba 'ilimpora' Kagoma mikononi mwa Yanga ambapo licha ya mchezaji huyo kuchukua pesa ya usajili Yanga, akavutiwa na ofa nono zaidi iliyotolewa na Simba na hivyo kukubali kusani mkataba huku akiwa pia amesaini mkataba wa awali na Yanga

Mchezaji huyo alikuwa tayari kurejesha fedha zote alizopewa na Yanga ila changamoto ni kwa kuwa anakwenda kujiunga na Simba

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz