Rasmi Aziz KI athibitisha: Nitaendelea kusalia Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Rasmi Aziz KI athibitisha: Nitaendelea kusalia Yanga

Rasmi Aziz KI athibitisha: Nitaendelea kusalia Yanga

Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Aziz KI.

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephanie Aziz Ki raia wa Burkina Faso ametangaza rasmi kuwa ataendelea kusalia ndani ya viunga vya timu hiyo kwa msimu ujao baada ya kusaini mkataba mpya.

Kupitia kipande cha video kilichopostiwa na Yanga, Aziz amesema; "Hello Wananchi, am still here." Akimanisha "Habari Wananchi, nitaendelea kusalia hapa (Yanga)."

Aziz Ki amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu ya Yanga ambapo atapokea mshahara wa dola 13,000 sawa na shilingi milioni 35 za Kitanzania kwa mwezi.

Safu ya kiungo cha ushambuliaji ya Yanga msimu ujao itaundwa na Aziz Ki, Pacome Zouzoua, Clatous Chama, Maxi Nzengeli wakati mbele yao akimaliza 'Muuaji Anayetabasam' Prince Dube 'Mwana wa Mfalme'.

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz