Kocha Yanga aibukia Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Kocha Yanga aibukia Simba

Kocha Yanga aibukia Simba?

Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

Kocha Yanga aibukia Simba

Aliyewahi kuwa kocha wa viungo na utimamu wa mwili wa Klabu ya Yanga SC, Riedoh Berdien anatarajiwa kurejea nchini na kujiunga na klabu ya Simba SC.

Atafanya kazi chini ya Kocha mkuu Fadlu Davids ambaye amefikia makubaliano ya kujiunga na Klabu ya Simba SC, kinachosubiriwa ni kutangazwa tu.

Riedoh alifanya kazi na Yanga SC wakati wa bakuli msimu wa 2019|20 na 2020|21. Aliwahi kufanya kazi na Klabu ya Chippa United na Mamelodi Sundowns.

BENCHI JIPYA LA UFUNDI SIMBA;

Fadlu Davids - Kocha mkuu

Darian Wilken - Kocha msaidizi


Mueez Kajee - Mchambuzi wa utendaji

Riedoh Berdien - Kocha wa viungo.

Kocha wa makipa atathibitishwa hivi karibuni kwa sababu Kocha Cadena aliitwa lakini hakuna kilichohitimishwa.

JIUNGE NA GROUP LA WAKUBA HAPA 18+ HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz