Ishu ya kibu denis kutoonekana simba iko hivi - EDUSPORTSTZ

Latest

Ishu ya kibu denis kutoonekana simba iko hivi

Ishu ya kibu denis kutoonekana simba iko hivi
Ni kesho Yanga vs Augsburg michuano ya mpumalanga iliyoandaliwa afrika kusini usikose kuitazama mechi hii live bure kupitia simu yako download app yetu kutazama mechi hii live bure pia ndani ya app yetu zipo chanel za azam tv pia utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Wakati Simba ikiwa katika wiki ya pili ya pre-season inayoendela nchini Misri, kiungo mshambuliaji Kibu Denis sio miongoni mwa wachezaji wanaoshiriki pre-season hiyo

Kumekuwa na maswali mengi miongoni mwa mashabiki wa Simba wakitaka kufahamu kulikoni Kibu hayuko Misri?

Uongozi wa Simba haujatoa taarifa rasmi lakini inaelezwa winga huyo ana ruhusa

"Kibu alimaliza msimu uliopita akiwa majeruhi hivyo bado anaendelea na taratibu za kitabibu, nafikiri ataungana na timu pale atakapokuwa sawa," alisema mtoa taarifa

Kibu na Aishi Manula ndio wachezaji pekee ambao hawako kambini Misri suala la Manula nalo likifanana na Kibu kwani pia alipata majeraha wakati akiitumikia timu ya Taifa mwishoni mwa msimu uliopita

Aidha kuna taarifa kuwa Azam Fc walimtaka Manula, Simba ikaonyesha utayari wa kumruhusu lakini ikitaka kumtumia kama sehemu ya makubaliano ya kumsajili Feisal Salum 'Fei Toto' dili ambalo Azam Fc waligomea

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz