Huyu hapa mrithi wa Chama pale msimbazi - EDUSPORTSTZ

Latest

Huyu hapa mrithi wa Chama pale msimbazi

Huyu hapa mrithi wa Chama pale msimbazi

Michuano ya EURO 2024 inaendelea pia mechi za kirafiki zinaendelea usikose kuzitazama mechi zote live bure kwenye simu yako download app yetu kutazama mechi zote live bure pia ndani ya app yetu utaweza kutazama chanel za azam tv buree na muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

 Klabu ya Simba inatajwa kukamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua aliyekuwa akiitumikia Stella Adjame ya Ivory Coast

Ahoua anatarajiwa kuwasili nchini wiki hii kukamilisha usajili wake ambapo taarifa za ndani zimebainisha kuwa atasaini mkataba wa miaka mitatu

Kiungo huyo mshambuliaji mwenye miaka 22 anatajwa kuwa mrithi wa Clatous Chama ambaye Simba imeachana nae baada ya mkataba wake kumalizika

Ahoua ndio MVP wa ligi kuu ya Ivory Coast msimu uliopita akifunga mabao 12 na kutoa assist 9



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz