CAFCC: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya - EDUSPORTSTZ

Latest

CAFCC: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya

CAFCC: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya

Usikose kutazama live mechi za EURO 2024 bure kwenye simu yako download app yetu kutazama pia chanel za Azam tv zote bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA

CAFCC: Simba kukutana na Uhamiaji ama Bingwa wa FA Libya

Katika droo ya Kombe la Shirikisho Afrika, Klabu ya Simba ambayo itaanzia hatua ya pili ya mtoano, imepangwa kucheza na mshindi kati ya Uhamiaji ya Zanzibar na Bingwa wa FA nchini Libya.

Coastal Union ambao wataanzia hatua ya kwanza ya mtoano, wao watacheza dhidi ya FC Bravo ya Angola na atakayefuzu atakipiga dhidi ya Fc Lupopo.

Mechi za mkondo wa kwanza wa hatua ya awali zitapigwa kati ya Agosti 16 - 18 huku marudiano yakitarajiwa kupigwa kati ya Agosti 22 - 25, 2024.

Mechi mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza zitapigwa kati ya Septemba 13-15, 2024 huku marudiano yakitarajiwa kupigwa kati ya Septemba 20-22, 2024.

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz