Breaking: Huyu hapa Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba mpya - EDUSPORTSTZ

Latest

Breaking: Huyu hapa Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba mpya

Breaking: Huyu hapa Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba mpya

LIVE: Itazame mechi ya KAIZER CHIEF vs YANGA michuano ya Toyota cup

Ni kesho kutwa saa 10:00 jioni usikose kuitazama mechi hii LIVE bure kupitia simu yako download app yetu mapema ili uweze kuitazama mechi hii kudownload app yetu bonyeza 👉🏻HAPA


 Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda ndiye mrithi wa nafasi ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba ambayo inashikiliwa na Imani Kajula

Mkataba wa Kajula unatarajiwa kumalizika mwezi ujao na Simba imemtangaza Uwayezu kuwa Mtendaji Mkuu Mpya

Francois, alikuwa Makamu Mwenyekiti wa APR ya Rwanda na amewahi pia kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka cha Rwanda (FERWAFA)

KUPATA KIFURUSHI CHA DATA VODA BOFYA + HAPA


PATA GB 30 KILA MTANDAO BURE  HAPA



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz