Yanga yampa 'thank you' na daktari kipenzi cha wachezaji - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga yampa 'thank you' na daktari kipenzi cha wachezaji

Youssef Ammar

Michuano ya EURO 2024 inaanza muda si mrefu usikose kutazama live mechi zote bure kabisa bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia utaweza kutazama chanel za azam tv na dstv buree kabisa bofya sasa kudownload

Kocha na daktari wa viungo wa Yanga, Mtunisia, Youssef Ammar aliyekuwa akielezwa kuwa ni kipenzi cha wachezaji wengi amesepa kimyakimya.

Sababu kubwa ikitajwa ni mkataba wake umemalizika na uongozi umeshindwa kufikia makubaliano ya kumuongezea.

Ammar aliachwa Yanga na kocha aliyeondoka, Nasreddine Nabi. Moja ya sifa za hivi karibuni kwa Kocha huyo ni kumrejesha haraka kwenye ubora wake, Khalid Aucho aliyekuwa na majeraha ambayo wengi walidhani angekosa mechi zaidi ya nusu msimu.

Lakini inaelezwa kuwa FAR Rabat ya Morocco ilimrejesha nchini, Bernard Morrison aje akatibiwe kwaajili yake kwani Nabi anamuelewa zaidi.


"Yalikuwa ni maamuzi ya upande mmoja, maamuzi hayakuwa kwa asilimia 100% kutoka Yanga bali uongozi wa Yanga umelazimishwa kufanya haya maamuzi na yamefanywa na mkuu wa benchi la ufundi Kocha Gamondi."- Youssef Ammar, Daktari.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA XX ( WAKUBWA ) UJIFUNZE MAUTUNDU



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz