Yanga wanasajili ma-MVP tupu - EDUSPORTSTZ

Latest

Yanga wanasajili ma-MVP tupu

Yanga wanasajili ma-MVP tupu

Mechi za Euro 2024 zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi zote live bure kupitia simu yako download app yetu ili kuzitazama mechi zote live bure pia kwenye app yetu kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za azam tv na Dstv download sasa bonyeza 👉🏻👉🏻 HAPA

Yanga wanasajili ma-MVP tupu

Kama mambo yatabaki kama yalivyo basi klabu ya Yanga itamsajili MVP wa AS Maniema wa Msimu 23/24, Basiala Agee (25).

Basiala Agee (25) ndiye kinara wa Assists katika klabu ya AS Maniema ndani ya ligi kuu ya Congo DR kwa msimu wa 23/24.

Basiala pia ni mfungaji bora namba mbili (2) akiwa na magoli 6 ndani ya klab yake ya As Maniema katika ligi kuu ya Congo DR iliyoshika nafasi pili (2) nyuma ya TP Mazembe na kufuzu CAF Champions League.

Agee Basiala pia ametajwa kwenye orodha ya kikosi bora cha msimu cha ligi kuu ya DR Congo cha Msimu huu 23/24.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz