Wenye 'D' mbili wameshaelewa Chama anakwenda wapi - EDUSPORTSTZ

Latest

Wenye 'D' mbili wameshaelewa Chama anakwenda wapi

Wenye 'D' mbili wameshaelewa Chama anakwenda wapi

Mechi za EURO 2024 zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi zote live bure kwenye simu yako download app yetu kuzitazama pia ndani ya app yetu kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pia zipo chanel za Azam tv na Dstv zote utazitazama bure kudownload app yetu bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

Chama na Aziz Ki

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa mpaka sasa hajapata taarifa rasmi kuhusu iwapo wataendelea kuwa na kiungo wao mshambuliaji, Clatous Chota Chama ama ataondoka klabuni hapo.

Chama ambaye mkataba wake unamalizika Juni 30, 2024 ndani ya Yanga, anatajwa kuwa ameshasaini mkataba wa mwaka mmoja na watani zao, Yanga SC ambao wamekuwa wakimuwinda kwa miaka mingi.

“Kuhusu Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama nikiri kwamba sijapata mwongozo mpya kuhusu yeye. Taarifa niliyo nayo ni kwamba anamaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado sijaambiwa kama ameongeza mkataba ama hajaongeza mkataba na kama tunaendelea naye ama hatutaendelea naye,” amesema Ahmed.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz