Usajili Ligi Kuu Bara kufunguliwa Juni 15 hadi Agosti 15, 2024 - EDUSPORTSTZ

Latest

Usajili Ligi Kuu Bara kufunguliwa Juni 15 hadi Agosti 15, 2024

Usajili Ligi Kuu Bara kufunguliwa Juni 15 hadi Agosti 15, 2024

Leo ndio siku michuano ya UEFA EURO 2024 CHAMPIONS inaanza usikose kutazama mechi zote live buree kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure kwenye simu yako pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia utatazama chanel za Azam tv na Dstv bofya sasa

Dirisha la usajili(FIFA Connect) kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi ya Championship, Ligi Daraja la Kwanza na Ligi Kuu ya Wanawake msimu wa 2024/25 litafunguliwa Juni 15 na kufungwa Agosti 15, 2024.

Taarifa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) imesema klabu zinatakiwa kufanya usajili na uhamisho wa wachezaji katika kipindi hicho.

"Hakutakuwa na muda wa ziada baada ya kufungwa kwa dirisha la usajili, tafadhali zingatia muda huo wa usajili na uhamisho," imesema taarifa hiyo.

Aidha usajili na uhamisho wa wachezaji kwa dirisha dogo utafunguliwa Desemba 16, 2024 na kufungwa Januari 15, 2025.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA KITANDANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz