TETESI: Djuma Shaban mbioni kutua kwenye timu hii ya Tanzania - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI: Djuma Shaban mbioni kutua kwenye timu hii ya Tanzania

Beki Mkongwe Djuma Shaban

Ni kesho michuoano ya UEFA EURO CHAMPIONS inaanza usikose kuzitazama mechi zote LIVE bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure pia kwenye app hii utaweza kuangalia muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv buree bofya sasa kudownload

Coastal Union iko kwenye mazungumzo na beki wa zamani wa Klabu ya Yanga, Djuma Shaaban.

Mkongomani huyo amekuwa nje ya uwanja kwa msimu mzima bila ya kuwa na timu baada ya kuachana na Yanga aliyoitumikia kwa misimu miwili 2021-2022 na 2022-2023.

Inaelezwa kwamba jana alielekea Tanga kwa ajili ya kukutana na viongozi wa Coastal ambao wanaimarisha kikosi chao kwa ajili ya Michuano ya Kombe la Shirikisho msimu ujao.

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz