TETESI: Chama asaini mwaka mmoja Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

TETESI: Chama asaini mwaka mmoja Yanga

TETESI: Chama asaini mwaka mmoja Yanga

Mechi za EURO 2024 na COPA AMERICA zinaendelea leo usikose kuzitazama mechi zote LIVE bure kwenye simu yako download app yetu uweze kuzitazama pia ukiwa na app yetu utaweza kutazama muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pia utaweza kutazama chanel za azam tv na dstv bure download app yetu sasa bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

Clatous Chama

Klabu ya Yanga imeripotiwa kumsainisha kiungo Clatous Chota Chama mkataba wa mwaka mmoja baada ya mkataba wa nyota huyo raia wa Zambia kunako Simba Sc kufikia ukomo.

Aidha, Meneja habari na mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally kupitia Insta Live amethibitisha kuwa Chama Hana mkataba na Wekundu hao wa Msimbazi huku akiweka wazi kuwa hana uhakika kama ameongeza mkataba mpya au ataondoka.

“Kuanzia Jumatatu tutapata 'status' halisi ya Mwamba wa Lusaka ikitokea anabaki itakuwa kwa maslahi mapana ya Simba na ikitokea anaondoka itakuwa kwa maslahi mapana ya Simba" Ahmed Ally



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz