Tanzania yapanda nafasi tano viwango vya ubora FIFA - EDUSPORTSTZ

Latest

Tanzania yapanda nafasi tano viwango vya ubora FIFA

Tanzania yapanda nafasi tano viwango vya ubora FIFA

Leo michuano ya EURO 204 inaendelea mechi za kibabe zinapigwa usikose kuzitazama mechi zote live bure kwenye simu yako download app yetu kutazama mechi zote live bure pia kwenye app yetu utaweza kutazama muvi zilizobtafsiriwa kwa kiswahili pia utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv buree bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania

Tanzania imepanda nafasi tano katika viwango vya ubora soka vya FIFA kutoka nafasi ya 119 hadi 115 ambavyo vimetolewa Juni 20/ 2024.

Tanzania imepata alama 1174 tofauti na mwezi uliopita ambapo ilipata alama 1159 ongezeko la alama 15.

Kwa upande wa Burundi imesalia nafasi ya 140 sawa na mwezi uliopita ikiwa na alama 1091.

Nigeria imeporomoka nafasi nane kutoka nafasi ya 30 hadi 38 katika viwango vya FIFA.


Kwa upande wa Afrika,Morocco inaendelea kushikilia usukani nafasi lakini ya kumi na mbili Dunia huku nafasi ya pili ikikamata na Senegal.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz