Taarifa Mpya kutoka yanga ni kuhusu Zawadi Mauya - EDUSPORTSTZ

Latest

Taarifa Mpya kutoka yanga ni kuhusu Zawadi Mauya

 Ni SPAIN vs CROATIA, ITAL vs ALBANIA na HUNGARY vs NETHERLAND leo michuano ya EURO 2024 usikose kuzitazama mechi hizi zote live bure kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayokuwezesha kuzitazama mechi zote buree pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv buree bofya sasa

Kiungo Zawadi Mauya ataendelea kuwatumikia Wananchi baada ya makubaliano ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja kufikiwa

Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Yanga imebainisha kuwa Kocha Miguel Gamondi amependekeza Mauya aongezwe mkataba baada ya mkataba wake wa awali kumalizika

Ni baada ya Muargentina huyo kujiridhisha hakuna wachezaji wengi wa ndani wanaocheza nafasi ya Mauya ambao ni bora kuliko yeye

Yanga huenda isiwe na ingizo jipya kwenye safu ya kiungo cha ukabaji ambapo Mauya, Jonas Mkude, Khalid Aucho, Mudathir Yahya na Salum Abubakar 'Sure Boy' wataendelea kuhudumu katika eneo hilo

Aidha, imeelezwa Gamondi amependekeza usajili wa wachezaji wanne kuongeza nguvu katika maeneo ya safu ya ulinzi (pembeni), winga na eneo la ushambuliaji

BONYEZA HAPA KUANGALIA VIDEO ZA WAKUBWA UJIFUNZE MAUTUNDU YA KITANDANI



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz