Simba watua kwa Straika wa Asante Kotoko - EDUSPORTSTZ

Latest

Simba watua kwa Straika wa Asante Kotoko

Simba watua kwa Straika wa Asante Kotoko

Michuano ya EURO 2024 inaendelea leo mechi za kibabe zitapigwa leo usikose kuzitazama mechi hizi zote live buree kwenye simu yako download app yetu kutazama mechi zote live bure pia kwenye app hii kuna muvi zilizotafsiriwa kwa kiswahili pamoja na chanel za Azam tv na Dstv kudownload app hii bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

Steven Mukwala

Klabu ya Simba ipo kwenye mazungumzo na nyota wa Asante Kotoko ya Ghana Steven Mukwala raia wa Uganda Kwa ajili ya kujiunga na miamba hiyo ya Msimbazi.

Klabu ya Simba ipo kwenye mazungumzo na nyota wa Asante Kotoko ya Ghana Steven Mukwala raia wa Uganda Kwa ajili ya kujiunga na miamba hiyo ya Msimbazi. Inaelezwa kuwa Simba SC wameweka mezani mkataba wa miaka miwili Kwa dau la USD 130,000 sawa na zaidi ya Tsh million 339 huku mshahara ukiwa ni USD 9000 sawa na Tsh million 20 Kwa mwezi.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz