Nathan Fasika kutua Msimbazi muda wowote - EDUSPORTSTZ

Latest

Nathan Fasika kutua Msimbazi muda wowote

Nathan Fasika kutua Msimbazi muda wowote
Michuano ya EURO 2024 na COPA AMERICA inaendelea leo usikose kuzitazama mechi hizo live bure kwenye simu yako download app yetu kutazama mechi hizi live bure kabisa pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizotafsiriwa pia utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure download sasa kwa kubonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

 Klabu ya Simba imefanya mazungumzo na wasimamizi wa mlinzi wa kimataifa wa Congo DR Nathan Fasika Idumba

Fasika kwa sasa anaitumikia klabu ya Valerenga ya Norway kwa mkopo akitokea Cape town City ya Afrika Kusini

Hii sio mara ya kwanza kwa Simba kujaribu kumsajili mchezaji huyo. Walimuwania msimu uliopita kabla ya Valerenga kufanikiwa kumsajili kwa mkopo

Simba inataka kumchukua Fasika kwa mkopo wa msimu mzima baada ya kuwa amemaliza mkataba wake na Valerenga

Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ali ametamba baada ya kufanikisha usajili wa Lameck Lawi kutoka klabu ya Coastal Union, kuna usajili mwingine wa beki wa Kimataifa ambao wataukamilisha siku chache zijazo

Wiki ijayo itakuwa busy kwa Simba kwani ndio wiki ya kukamilisha michakato yote ya usajili kabla ya kikosi kuelekea Misri mji wa Ismailia kwa ajili ya pre-season mwanzoni mwa Julai 2024



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz