Mzamiru ana jambo lake Simba - EDUSPORTSTZ

Latest

Mzamiru ana jambo lake Simba

Kiungo wa Simba, Mzamiru Yassin

Klabu ya Simba iko kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili kiungo nyota wa kikosi hicho, Mzamiru Yassin.

Mkataba wa kiungo huyo wa zamani wa Mtibwa Sugar aliyemaliza msimu akiwa na asisti nne umefikia ukingoni na tayari wawakilishi wa Mzamiru wameanza mazungumzo ili asaini dili jipya na miamba hiyo.

Klabu mbalimbali za Azam FC na Singida Black Stars (Ihefu FC) ni miongoni mwa zilizokuwa zinahitaji saini za kiungo huyo anayeichezea timu hiyo kwa misimu nane mfululizo ili kuboresha vikosi vyao.

Michuano ya EURO 2024 inaanza muda si mrefu usikose kutazama live mechi zote bure kabisa bonyeza hapa kudownload app itakayoonesha mechi zote live bure pia ukiwa na app hii utaweza kutazama muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia utaweza kutazama chanel za azam tv na dstv buree kabisa bofya sasa kudownload

Nyota huyo alisajiliwa Simba msimu wa mwaka 2016 sambamba na Shiza Kichuya na tangu hapo amekuwa mmoja ya viungo wa kizawa anaochuana na mastaa wa nyota wa kigeni katika nafasi hiyo na msimu huu alikuwa lulu mbele ya makocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’, Abdelhak Benchikha na Juma Mgunda.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz