Mwamnyeto asaini miaka miwili Yanga - EDUSPORTSTZ

Latest

Mwamnyeto asaini miaka miwili Yanga

Mwamnyeto asaini miaka miwili Yanga

Ni yanga vs Safari champions usikose kuitazama mechi hii live bure kwenye simu yako pia mechi za EURO 2024 download app yetu inayorusha mechi hizi buree kabisa pia kwenye app yetu kuna muvi zilizo tafsiriwa kwa kiswahili pia kuna chanel za Azam tv na Dstv zote unazitazama buree download sasa App yetu kuenjoy bonyeza 👉🏻👉🏻HAPA

Bakari Mwamnyeto akisaini mkataba mpya Yanga.

Beki na Nahodha wa Klabu ya Yanga SC, Bakari Mwamnyeto amesaini Mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Yanga mpaka June 30, 2026.

Beki na Nahodha wa Klabu ya Yanga SC, Bakari Mwamnyeto amesaini Mkataba wa miaka miwili wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Yanga mpaka June 30, 2026. Mwamnyeto ambaye mkataba wake ulikuwa unatamatika msimu huu, amekuwa akiwindwa na Klabu ya Simba ambao walikuwa wakitaka huduma ya kitasa huyo.



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz